Deuteronomy 3:12

Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Ya Yordani

(Hesabu 32:1-42)

12 aKatika nchi tuliyoiteka wakati ule, niliwapa kabila la Reubeni na Gadi eneo lililoko kaskazini la Aroeri kando ya Bonde la Arnoni, na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake.
Copyright information for SwhNEN